Giza la zingira Manchester United

Old Trafford hapakaliki tena, baada ya mfululizo wa matokeo mabaya uwanjani

Old Trafford hapakaliki tena, baada ya mfululizo wa matokeo mabaya uwanjani Source: Getty Images

Mechi chache zinasalia kwa ligi kuu ya Uingereza kuisha, ila tumbo joto linaendelea kusambaa katika timu zinazo wania nafasi zakushiriki katika mechi za klabu bingwa msimu ujao.


Katika enzi za Sir Alex Furgusson, Manchester United ilikuwa mfalme wa ligi kuu ya Uingereza. Hata kama ilikuw ainapoteza mechi, mashabiki walikuwa na imani kuwa itasawazisha nakupata ushindi katika dakika za lala salama.

Ila siku hizi woga ambao timu zilizokuwa ziki cheza dhidi ya United kabla, ume yayaku na badala ya United kutoa adhabu kwa timu zingine, wao ndiwo wanalisha adhabu na vichapo mara kwa mara siku hizi. Taarifa zime zidi kuvuja kuhusu ukosefu wa imani miongoni mwa wachezaji kwa wenzao, hali ambayo ilikuwa tofauti kabisa katika miaka ya nyuma.

Mchambuzi wetu wa micheoz Herbert Gatamah, alizungumzia swala hili pamoja na mbio zakufuzu kucheza katika mechi za klabu bingwa ulaya, pamoja nakumulika hali ilivyo katika mkia wa ligi ambako kwa sasa timu 5 zinawafanya ziwezavyo kuepuka kushuka daraja mwisho wa msimu huu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service