Gladys Berejiklian achaguliwa kuwa kiongozi wa New South Wales

Gladys Berejiklian kiongozi mteule wa NSW

Gladys Berejiklian asherehekea ushindi wa chama cha Liberal cha NSW, katika uchaguzi wa 2019 jimboni New South Wales. Source: AAP

Serikali ya Berejiklian imesalia mamlakani jimboni New South Wales, hatua ambayo imempa Gladys Berejiklian sifa yakuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuongoza jimbo hilo.


Wakati hesabu za kura zinaendelea jimboni kote, inaonekana kama serikali ya mseto imeshinda viti 46 kati ya viti 47 ilihitaji, kumaanisha itarejea mamlakani kama serikali ya wachache.

Iwapo hawata pata kura zakutosha, Bi Berejiklian tayari amepata ahadi za kusaidiwa na wabunge huru watatu wanao rejea bungeni.

Ushindi huo unaonekana kama ushindi wa wanawake pamoja nakuipiga jeki serikali ya mseto ya shirikisho, miezi miwili kabla ya uchaguzi washirikisho.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service