Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Gladys Berejiklian achaguliwa kuwa kiongozi wa New South Wales

Gladys Berejiklian kiongozi mteule wa NSW

Gladys Berejiklian asherehekea ushindi wa chama cha Liberal cha NSW, katika uchaguzi wa 2019 jimboni New South Wales. Source: AAP

Serikali ya Berejiklian imesalia mamlakani jimboni New South Wales, hatua ambayo imempa Gladys Berejiklian sifa yakuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuongoza jimbo hilo.


Published

Updated

By Samantha Beniac-Brooks

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Serikali ya Berejiklian imesalia mamlakani jimboni New South Wales, hatua ambayo imempa Gladys Berejiklian sifa yakuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuongoza jimbo hilo.


Wakati hesabu za kura zinaendelea jimboni kote, inaonekana kama serikali ya mseto imeshinda viti 46 kati ya viti 47 ilihitaji, kumaanisha itarejea mamlakani kama serikali ya wachache.

Iwapo hawata pata kura zakutosha, Bi Berejiklian tayari amepata ahadi za kusaidiwa na wabunge huru watatu wanao rejea bungeni.

Ushindi huo unaonekana kama ushindi wa wanawake pamoja nakuipiga jeki serikali ya mseto ya shirikisho, miezi miwili kabla ya uchaguzi washirikisho.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now