Gavana wa Kaunti ya Mandera Mohamed Adan Khalif, amesema asilimia 60 ya kaunti yake iko chini ya udhibiti wa Al Shabaab.
Gov Khalif ameongezea kuwa wana mgambo hao, hawataki maendeleo katika kaunti hiyo na hali ya usalama ina endelea kudorora pia.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






