Gov Khalif "asilimia 60 ya Mandera iko chini ya udhibiti wa Al Shabaab"07:12(File: AAP) Source: AAPSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.59MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Gavana wa Kaunti ya Mandera Mohamed Adan Khalif, amesema asilimia 60 ya kaunti yake iko chini ya udhibiti wa Al Shabaab.Gov Khalif ameongezea kuwa wana mgambo hao, hawataki maendeleo katika kaunti hiyo na hali ya usalama ina endelea kudorora pia.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesMakala leo:jinsi ya kutambua na kuepuka ulaghai wa AIYaliyojiri Afrika:kura zimeanza kuhesabiwa Uganda licha ya matatizo ya kiufundi hapo awaliTaarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkonoTaarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani