Serikali ya taifa imechukua hatua za haraka kudhibiti madhara yaliyo sababishwa na tovuti ya sensa kufeli, kwa sababu ya majaribio yaku sababisha uharibifu katika tovuti hiyo.
Maelfu yawa Australia walishindwa kutumia tovuti hiyo usiku wa Jumanne (9 Agosti) kwa sababu shirika la ABS lilikuwa lime funga tovuti hiyo.
SBS Swahili ilizungumza na mtaalam wa maswala yaki teknolojia na digitali, ambayo ali chambua kitendawili cha matatizo yaliyo ikumba tovuti ya ABS.
Share
