Mbunge wa chama cha Liberal amejitenga na sera ya serikali ya Turnbull, baada ya kuwasilisha muswada binafsi wenye lengo la kuweka zuio la mauzo ya kondoo ambao wako hai katika ukanda wa mashariki ya kati katika miaka mitano ijayo.
Ila serikali imeamua haitaunga mkono muswada huo, kwa sababu sekta hiyo haifai pigwa mafuruku katika hali isiyofaa.
Share






