SKIP TO MAIN CONTENT

Mbunge Ley awasilisha muswada wa zuio la mauzo ya kondoo kwa kuwasafirisha nje ya nchi wakiwa hai

Mbunge wa Farrer Sussan Ley, azungumza na waandishi wa habari kuhusu muswada wake waku simamisha biashara yaku safirisha kondoo ambao wako hai mashariki yakati
Mbunge wa Farrer Sussan Ley, azungumza na waandishi wa habari kuhusu muswada wake waku simamisha biashara yaku safirisha kondoo ambao wako hai mashariki yakati. Source: AAP

Mbunge wa chama cha Liberal amejitenga na sera ya serikali ya Turnbull, baada ya kuwasilisha muswada binafsi wenye lengo la kuweka zuio la mauzo ya kondoo ambao wako hai katika ukanda wa mashariki ya kati katika miaka mitano ijayo.


Published

Updated

By Biwa Kwan

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Skip to podcast episode content

Mbunge wa chama cha Liberal amejitenga na sera ya serikali ya Turnbull, baada ya kuwasilisha muswada binafsi wenye lengo la kuweka zuio la mauzo ya kondoo ambao wako hai katika ukanda wa mashariki ya kati katika miaka mitano ijayo.


Ila serikali imeamua haitaunga mkono muswada huo, kwa sababu sekta hiyo haifai pigwa mafuruku katika hali isiyofaa.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now