Chama cha One Nation cha isaidia serikali kupitisha makato ya kodi bungeni

Maseneta wa chama cha One Nation Pauline Hanson na Peter Georgiou bungeni baada ya kura ya kodi ya mapato mjini Canberra, Australia

Maseneta wa chama cha One Nation Pauline Hanson na Peter Georgiou bungeni baada ya kura ya kodi ya mapato mjini Canberra, Australia. Source: AAP

Serikali ya Turnbull imepata moja ya ushindi wake muhimu, baada yaku fanikiwa kupitisha bungeni sera ya bajeti.


Mfuko huo wenye thamani ya dola bilioni 144 ya makato ya kodi kwa ma milioni yawa Australia, umejiri baada ya ushauriano wa dakika za mwisho na maseneta wa vyama vidogo.

Wakati huo huo chama cha Labor, kime ahidi kuwa iwapo kita shinda uchaguzi mkuu naku unda serikali, chama hicho kita ongeza mara mbili makato ya kodi kwa wenye mapato ya chini pamoja naku itekeleza haraka zaidi kuliko serikali ya mseto.

Chama hicho kime ongezea kuwa kita futa hatua ya pili na tatu ya mpango wa kodi wa serikali. Afueni ya kodi kwa Australia ya kati kwa sasa inaelekea kuwa swala muhimu katika chaguzi dogo tano zijazo mwezi julai pamoja na uchaguzi mkuu wa shirikisho.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service