Serikali yazungumzia mitihani yakusoma, kuandika nakuhesabu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza

Waziri Simon Birmingham  ataka wanafunzi wa darasa la kwanza wafanye mitihani

Waziri Simon Birmingham ataka wanafunzi wa darasa la kwanza wafanye mitihani Source: AAP

Ripoti mpya ime baini baadhi ya watoto wenye umri wa miaka sita nchini Australia, wana endelea kubaki nyuma kwa upande wa viwango vya msingi vya kuandika, kusoma nakuhesabu.


Ripoti hiyo iliyo agizwa na serikali, ime pendekeza mitihani iwasilishwe kitaifa kwa ajili yaku hakikisha wanafunzi ambao wako katika darasa la kwanza wana fikia viwango vinavyo stahili vya kusoma, kuandika nakuhesabu.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service