Serikali yazungumzia mitihani yakusoma, kuandika nakuhesabu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza
Waziri Simon Birmingham ataka wanafunzi wa darasa la kwanza wafanye mitihani Source: AAP
Ripoti mpya ime baini baadhi ya watoto wenye umri wa miaka sita nchini Australia, wana endelea kubaki nyuma kwa upande wa viwango vya msingi vya kuandika, kusoma nakuhesabu.
Share
