Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Habib:"Nijukumu la viongozi wajumuiya na wananchi wengine kuelimishana kuhusu COVID-19"

Bango la chanjo ya COVID-19

Bango la chanjo ya COVID-19 Source: Monash Public Library

Mamlaka jimboni Victoria wanaendelea kuhamasisha wakaaji jimboni humo, waende kupokea chanjo za COVID-19, wakati idadi ya maambukizi inaendelea kuongezeka.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mamlaka jimboni Victoria wanaendelea kuhamasisha wakaaji jimboni humo, waende kupokea chanjo za COVID-19, wakati idadi ya maambukizi inaendelea kuongezeka.


Wakati wanachama wengi wa jamii mbali mbali wana endelea kusita kupokea chanjo ya COVID-19, viongozi wa jamii yawatanzania wanao ishi Victoria, wame andaa mkutano maalum kwenye mtandao wa Zoom ambako wataalam wamaswala ya afya, wame alikwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu; uelewa wa COVID-19: virusi hivyo, chanjo, athari za afya ya akili pamoja na uzoefu tunao changia.

Habib Chanzi ndiye Rais wa Jumuia yawatanzania wa Victoria, ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu umuhimu na lengo lakuandalia jamii yake mkutano huo. Tembelea ukurasa wa Facebook wa: Tanzanian Community of Victoria, kwa taarifa kuhusu jinsi yakushiriki katika mkutano huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now