Habib:"Nijukumu la viongozi wajumuiya na wananchi wengine kuelimishana kuhusu COVID-19"

Bango la chanjo ya COVID-19

Bango la chanjo ya COVID-19 Source: Monash Public Library

Mamlaka jimboni Victoria wanaendelea kuhamasisha wakaaji jimboni humo, waende kupokea chanjo za COVID-19, wakati idadi ya maambukizi inaendelea kuongezeka.


Wakati wanachama wengi wa jamii mbali mbali wana endelea kusita kupokea chanjo ya COVID-19, viongozi wa jamii yawatanzania wanao ishi Victoria, wame andaa mkutano maalum kwenye mtandao wa Zoom ambako wataalam wamaswala ya afya, wame alikwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu; uelewa wa COVID-19: virusi hivyo, chanjo, athari za afya ya akili pamoja na uzoefu tunao changia.

Habib Chanzi ndiye Rais wa Jumuia yawatanzania wa Victoria, ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu umuhimu na lengo lakuandalia jamii yake mkutano huo. Tembelea ukurasa wa Facebook wa: Tanzanian Community of Victoria, kwa taarifa kuhusu jinsi yakushiriki katika mkutano huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service