Mashabiki wa muziki wa Afrika kwama elfu waliwaona nyota wakubwa zaidi katika muziki wa Afrika kama Yemi Alade, Wizkid na Harmonize jukwaani mjini Sydney na Melbourne.
Harmonize"Endeleeni kunisapoti tufikishe muziki wa Afrika Mashariki na Kiswahili mbali"

Harmonize katika tamasha mjini Sydney, Australia Source: 1Dance Africa
1Dance Africa iliandaa tamasha kubwa zaidi la muziki waki Afrika na utamaduni nchini Australia.
Share