Mara nyingi watu wenye umri mkuu katika jamii, hukabiliana na changamoto nyingi kupata ajira wanazo taka.
Nakango Visions nishirika lisilo la serikali katika kitongoji cha Fairfield, Magharibi ya Sydney ambacho kinatoa fursa kwa baadhi ya wanachama wa jamii wenye umri wa juu, pamoja na walio wasili nchini Australia kama wakimbizi, fursa yakupata ujuzi wakushona nguo.
SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wanafunzi walio hitimu katika masomo hayo yakushona, walitueleza jinsi ujuzi huo mpya wakushona utawasaidia kushiriki katika soko la ajira.
Share






