Historia ya tengezwa katika fainali ya kombe la dunia mjini Sydney

WWC23 FINAL SPAIN ENGLAND

Spain celebrate winning the FIFA Women's World Cup 2023 Final soccer match between Spain and England at Stadium Australia in Sydney, Sunday, August 20, 2023. Source: AAP / DAN HIMBRECHTS/AAPIMAGE

Wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kote duniani, walijumuika mbele ya runinga zao kutazama fainali ya Kombe la Dunia la FIFA kutoka mjini Sydney, Australia.


Fainali hiyo ili waniwa kati ya kina dada kutoka Uhispania na Uingereza, historia ya hivi karibuni ilipendelea Uingereza kwa sababu wali waondoa wahispania katika robo fainali ya kombe la Ulaya.

Licha ya hiyo, wahispania wali ingia katika fainali hiyo bila wasiwasi wowote wakiwa tayari kwa mapambano.

Mtangazaji wa redio Hope for Africa Bw Styves Derrick kutoka Sweden, alitupasha mubashara kutoka uwanjani yaliyo jiri katika pambano hilo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Historia ya tengezwa katika fainali ya kombe la dunia mjini Sydney | SBS Swahili