Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Historia yatengezwa katika maandamano mjini Brisbane, Queensland

Maelfu washiriki katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Brisbane

Maelfu washiriki katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Brisbane, wakiomba hatua ichukuliwe kwa vifo vya waaustralia wa kwanza vizuizini. Source: AAP

Sikila wakati watu hutupilia mbali usalama wao kushiriki katika hafla ambayo ni muhimu zaidi kuliko maswala yote ambayo ni muhimu kwao.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Sikila wakati watu hutupilia mbali usalama wao kushiriki katika hafla ambayo ni muhimu zaidi kuliko maswala yote ambayo ni muhimu kwao.


Mjini Brisbane, Queensland maelfu yawatu walijumuika mitaani, kuandamana dhidi ya mauaji ya mmarekani mweusi George Floyd nchini Marekani.

Waandamanaji hao walipaza sauti zao pia wakita hatua zichukuliwe kwa vifo vya waaustralia wakwanza vizuizini. Mwanasheria Blaise Itabelo, alikuwa miongoni mwa watu walio shiriki katika maandamano hayo, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS alivyo shuhudia.

Maandamano hayo yalijiri wakati, viongozi wakiwahamasisha watu kuto tangamana katika umma kwa ajili yakuzuia usambaaji wa virusi vya corona. Maandamano hayo yalihudhuriwa na idadi kubwa ya watu, kuliko maandamano mengine katika mji huo.

  

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now