Matumaini yafifia kuwapata walionusurika kwenye kisiwa cha Sulawesi kilichoharibiwa vibaya na maafa

Surianto walks over the mud that engulfed her home

Indonesian island Sulawesi Source: SBS

Matatizo ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya tetemeko la ardhi kisiwani Sulawesi yanaendelea kuwa mabaya zaidi. Zaidi ya watu 1,400 wameripotiwa kuwa wamekufa kutokana na tetemeko kubwa la ukubwa wa 7.5 na tsunami iliyofuata, ilikipiga kisiwa hicho cha Indonesian siku ya Ijumaa. Takribani watu 2,500 wamejeruhiwa na 113 hawajulikani walipo. Mwandishi wetu Frank Mtao ametuandalia taarifa ifuatayo...



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service