Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Matumaini yafifia kuwapata walionusurika kwenye kisiwa cha Sulawesi kilichoharibiwa vibaya na maafa

Surianto walks over the mud that engulfed her home

Indonesian island Sulawesi Source: SBS

Matatizo ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya tetemeko la ardhi kisiwani Sulawesi yanaendelea kuwa mabaya zaidi. Zaidi ya watu 1,400 wameripotiwa kuwa wamekufa kutokana na tetemeko kubwa la ukubwa wa 7.5 na tsunami iliyofuata, ilikipiga kisiwa hicho cha Indonesian siku ya Ijumaa. Takribani watu 2,500 wamejeruhiwa na 113 hawajulikani walipo. Mwandishi wetu Frank Mtao ametuandalia taarifa ifuatayo...


Published

Updated

By Virginia Langeberg, Lydia Feng

Presented by Frank Mtao

Source: SBS




Share this with family and friends


Matatizo ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya tetemeko la ardhi kisiwani Sulawesi yanaendelea kuwa mabaya zaidi. Zaidi ya watu 1,400 wameripotiwa kuwa wamekufa kutokana na tetemeko kubwa la ukubwa wa 7.5 na tsunami iliyofuata, ilikipiga kisiwa hicho cha Indonesian siku ya Ijumaa. Takribani watu 2,500 wamejeruhiwa na 113 hawajulikani walipo. Mwandishi wetu Frank Mtao ametuandalia taarifa ifuatayo...



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now