Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali za mikoa na shirikisho za laumiwa kwa matatizo ya nyumba katika ripoti

Picha ya nyumba iliyo uzwa mjini Sydney, Australia

Picha ya nyumba iliyo uzwa mjini Sydney, Australia Source: AAP

Utafiti mpya ume weka lawama kwa uhaba wa upatikanaji raisi wa nyumba kwa serikali zama jimbo na mikoa pamoja na serikali ya shirikisho.


Published

Updated

By Andrea Nierhoff

Presented by SBS Swahili, Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Utafiti mpya ume weka lawama kwa uhaba wa upatikanaji raisi wa nyumba kwa serikali zama jimbo na mikoa pamoja na serikali ya shirikisho.


Utafiti huo ume shtumu serikali hizo kwaku puuza kiini cha tatizo hilo pamoja na mipango hafifu.

Kituo cha utafiti katika taasisi ya Grattan kimesema juhudi ya viongozi bila shaka ime sababisha tatizo hilo.

Utafiti huo umedokeza kupunguza viwango vya uhamiaji kama hatua ya mwisho.


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now