Utafiti huo ume shtumu serikali hizo kwaku puuza kiini cha tatizo hilo pamoja na mipango hafifu.
Kituo cha utafiti katika taasisi ya Grattan kimesema juhudi ya viongozi bila shaka ime sababisha tatizo hilo.

Picha ya nyumba iliyo uzwa mjini Sydney, Australia Source: AAP
Kituo cha utafiti katika taasisi ya Grattan kimesema juhudi ya viongozi bila shaka ime sababisha tatizo hilo.

SBS World News