Utafiti mpya ume weka lawama kwa uhaba wa upatikanaji raisi wa nyumba kwa serikali zama jimbo na mikoa pamoja na serikali ya shirikisho.
Utafiti huo ume shtumu serikali hizo kwaku puuza kiini cha tatizo hilo pamoja na mipango hafifu.
Kituo cha utafiti katika taasisi ya Grattan kimesema juhudi ya viongozi bila shaka ime sababisha tatizo hilo.
Utafiti huo umedokeza kupunguza viwango vya uhamiaji kama hatua ya mwisho.
Share

