Taasisi za elimu zimewaka mikakati ipi, kutowapoteza wanafunzi katika maeneo ya ukame?

Wanafunzi wajadiliana chuoni

Wanafunzi wajadiliana chuoni Source: Digital Vision

Wakati wakulima wanaendelea kukabiliana na madhara ya ukame katika ukanda wa Australia, taasisi za elimu katika maeneo husika, nazo zimelazimishwa kutafuta mikakati mbadala, yakuwasaidia nakuhakikisha wanafunzi wao wanaendelea na elimu yao katika taasisi zao.


Dr Ndungi Wa Mungai na Dr Kiprono Langat kutoka chuo cha Charles Sturt mjini Wagga Wagga, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi wanawasaidia wanafunzi kutoka maeneo ambayo yame athiriwa kwa ukame.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service