Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Taasisi za elimu zimewaka mikakati ipi, kutowapoteza wanafunzi katika maeneo ya ukame?

Wanafunzi wajadiliana chuoni

Wanafunzi wajadiliana chuoni Source: Digital Vision

Wakati wakulima wanaendelea kukabiliana na madhara ya ukame katika ukanda wa Australia, taasisi za elimu katika maeneo husika, nazo zimelazimishwa kutafuta mikakati mbadala, yakuwasaidia nakuhakikisha wanafunzi wao wanaendelea na elimu yao katika taasisi zao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakati wakulima wanaendelea kukabiliana na madhara ya ukame katika ukanda wa Australia, taasisi za elimu katika maeneo husika, nazo zimelazimishwa kutafuta mikakati mbadala, yakuwasaidia nakuhakikisha wanafunzi wao wanaendelea na elimu yao katika taasisi zao.


Dr Ndungi Wa Mungai na Dr Kiprono Langat kutoka chuo cha Charles Sturt mjini Wagga Wagga, walieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi wanawasaidia wanafunzi kutoka maeneo ambayo yame athiriwa kwa ukame.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now