Bw Morrison aliwania wadhifa wa kiongozi wa chama cha Liberal na Waziri Mkuu, dhidi ya aliyekuwa waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton na waziri wa maswala ya nje Julie Bishop, katika uchaguzi ulio fanywa na chama cha Liberal.
Je, waziri mkuu wa 30 wa Australia ni nani?