Robert Mugabe alifariki akiwa na miaka 95 nchini Singapore, ambako imeripotiwa alikuwa akipokea matibabu.
Rais huyo wa zamani wa Zimbabwe, alipendwa nakuchukiwa kwa usawa na, mara nyingi alisababisha mgawanyiko wa maoni ndani na nje ya Zimbabwe.
Baadhi ya wanachama wa jamii yawa Australia wenye asili ya Afrika, walichangia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu maisha na kifo cha Robert Mugabe.
Share





