Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Historia itamkumbukaje Robert Mugabe?

Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe akagua gwaride la heshima

Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe akagua gwaride la heshima katika siku yamashujaa Agosti 2017. Source: AAP

Robert Mugabe alifariki akiwa na miaka 95 nchini Singapore, ambako imeripotiwa alikuwa akipokea matibabu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Robert Mugabe alifariki akiwa na miaka 95 nchini Singapore, ambako imeripotiwa alikuwa akipokea matibabu.


Rais huyo wa zamani wa Zimbabwe, alipendwa nakuchukiwa kwa usawa na, mara nyingi alisababisha mgawanyiko wa maoni ndani na nje ya Zimbabwe.

Baadhi ya wanachama wa jamii yawa Australia wenye asili ya Afrika, walichangia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu maisha na kifo cha Robert Mugabe.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now