Historia itamkumbukaje Robert Mugabe?

Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe akagua gwaride la heshima

Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe akagua gwaride la heshima katika siku yamashujaa Agosti 2017. Source: AAP

Robert Mugabe alifariki akiwa na miaka 95 nchini Singapore, ambako imeripotiwa alikuwa akipokea matibabu.


Rais huyo wa zamani wa Zimbabwe, alipendwa nakuchukiwa kwa usawa na, mara nyingi alisababisha mgawanyiko wa maoni ndani na nje ya Zimbabwe.

Baadhi ya wanachama wa jamii yawa Australia wenye asili ya Afrika, walichangia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu maisha na kifo cha Robert Mugabe.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service