Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Pendekezo laku badili masharti yaku pata uraia yata kuathiri aje?

Peter Dutton

Immigration Minister Peter Dutton Source: Picha: AAP

Serikali ya shirikisho imependekeza muswada waku badili muda waku pata uraia wa Australia, hususan kwa watu wenye viza aina ya PR. SBS Swahili ilizungumza na mwenye kiti wa shirika la Kenya Community Victoria Bw Milton Njanja, kuhusu hatua ambazo shirika lake limechukua kuwasaidia wanachama ambao wata athiriwa na mabadiliko hayo.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho imependekeza muswada waku badili muda waku pata uraia wa Australia, hususan kwa watu wenye viza aina ya PR. SBS Swahili ilizungumza na mwenye kiti wa shirika la Kenya Community Victoria Bw Milton Njanja, kuhusu hatua ambazo shirika lake limechukua kuwasaidia wanachama ambao wata athiriwa na mabadiliko hayo.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now