Wa Australia kwa sasa wataweza anza kupokea msaada wa afya ya akili, kutoka kwa mtu anaye zungumza lugha yao au anaye changia tamaduni nao au dini chini ya mradi mpya.
Na kama wewe ama mtu unayejua anahitaji msaada, wasiliana na shirika la Lifeline kupitia namba hii 13-11-14.
Share






