Utafiti huo ni sehemu ya juhudi yakimataifa yaku tokomeza ugonjwa huo, ambao hudai maisha ya mamia ya maelfu ya watu kila mwaka, wakati aina mpya ya chembe za ugonjwa huo zina endelea kulemea dawa zake.
Mji wa Melbourne, ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la kimataifa la malaria.





