Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Binadam waambukizwa malaria kwa hiari katika jina la sayansi

Mtafiti wa malaria, afanya vipimo ndani ya maabara

Mtafiti wa malaria, afanya vipimo ndani ya maabara Source: SBS

Idadi ya watu wapatao mia tatu wame ambukizwa virusi vya malaria katika maabara mjini Brisbane, kwa jina la sayansi, nakupata mbinu mpya zaku zuia ugonjwa huo kusambaa.


Published

Updated

By Stefan Armbruster

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Idadi ya watu wapatao mia tatu wame ambukizwa virusi vya malaria katika maabara mjini Brisbane, kwa jina la sayansi, nakupata mbinu mpya zaku zuia ugonjwa huo kusambaa.


Utafiti huo ni sehemu ya juhudi yakimataifa yaku tokomeza ugonjwa huo, ambao hudai maisha ya mamia ya maelfu ya watu kila mwaka, wakati aina mpya ya chembe za ugonjwa huo zina endelea kulemea dawa zake.

Mji wa Melbourne, ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la kimataifa la malaria.

Kongamano hilo lilianza Jumapili, Julai mosi na litakamilika Alhamisi tarehe 5 Julai 2018.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now