Binadam waambukizwa malaria kwa hiari katika jina la sayansi

Mtafiti wa malaria, afanya vipimo ndani ya maabara

Mtafiti wa malaria, afanya vipimo ndani ya maabara Source: SBS

Idadi ya watu wapatao mia tatu wame ambukizwa virusi vya malaria katika maabara mjini Brisbane, kwa jina la sayansi, nakupata mbinu mpya zaku zuia ugonjwa huo kusambaa.


Utafiti huo ni sehemu ya juhudi yakimataifa yaku tokomeza ugonjwa huo, ambao hudai maisha ya mamia ya maelfu ya watu kila mwaka, wakati aina mpya ya chembe za ugonjwa huo zina endelea kulemea dawa zake.

Mji wa Melbourne, ni mwenyeji wa kongamano la kwanza la kimataifa la malaria.

Kongamano hilo lilianza Jumapili, Julai mosi na litakamilika Alhamisi tarehe 5 Julai 2018.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service