Mzawa huyo wa Tanzania alizungumzia kazi yake kama kiongozi wa chama cha wanafunzi katika chuo cha teknolojia cha Sydney, pamoja na shabaa yake yakuwa rais wa Tanzania katika siku za usoni.
Nataka kuwa rais wa Tanzania

Linus Jamal Faustin ndani ya studio ya SBS Swahili Source: SBS Swahili
SBS Swahili ilizungumza na mshindi wa tuzo ya mwanafunzi bora wakimataifa wa NSW Bw Linus Jamal Faustin.
Share




