Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

'Kama tunamiliki tatizo, lazima tumiliki suluhu pia'

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani  kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika Source: AAP

Viongozi wa jamii zawa Afrika wame kutana mjini Melbourne kujadili mbinu bora yaku kabiliana na swala la vurugu la vijana.


Wame sema tatizo hilo halita tatuliwa haraka na suluhu inahitaji rasilimali zaidi, kwa miradi inayo ongozwa na jamii na kupunguzwa kwa swala hili kutumiwa kisiasa.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now