Viongozi wa jamii zawa Afrika wame kutana mjini Melbourne kujadili mbinu bora yaku kabiliana na swala la vurugu la vijana.
Wame sema tatizo hilo halita tatuliwa haraka na suluhu inahitaji rasilimali zaidi, kwa miradi inayo ongozwa na jamii na kupunguzwa kwa swala hili kutumiwa kisiasa.
Share

