'Kama tunamiliki tatizo, lazima tumiliki suluhu pia'

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani  kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika Source: AAP

Viongozi wa jamii zawa Afrika wame kutana mjini Melbourne kujadili mbinu bora yaku kabiliana na swala la vurugu la vijana.


Wame sema tatizo hilo halita tatuliwa haraka na suluhu inahitaji rasilimali zaidi, kwa miradi inayo ongozwa na jamii na kupunguzwa kwa swala hili kutumiwa kisiasa.






Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service