Kuna vifo takribani 6,000 kila mwaka nchini Australia vilivyosababishwa na pombe - moja kati ya vifo 22 kwa jumla. Sasa wahamiaji nchini Australia wanaanza kufunguka kuhusu masuala yanayohusiana na unywaji pombe.
Share

Published
By Frank Mtao
Presented by Jean-Paul Amedee Nizigama
Source: SBS
Share this with family and friends


