Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Australia yahamasishwa ichukulie serikali ya Ethiopia hatua baada ya vifo katika mkanyagano

Baadhi yawanajumuiya wakiandamana dhidi ya serikali ya Ethiopia mjini Sydney
Baadhi yawanajumuiya wakiandamana dhidi ya serikali ya Ethiopia mjini Sydney Source: SBS

Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Walio shuhudia tukio hilo wamesema kuwa baadhi ya watu walifariki katika mkanyagano uliotokea, baada ya polisi kutumia vitoza machozi na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji hao.

Maelfu walikuwa wame jumuika mjini Bishoftu katika sherehe yakidini, eneo hilo liko umbali wa kilomita 40 kutoka mji mkuu Addis Ababa.

Maandamano hayo yame jiri masaa machache baada ya makesha kwa mshumaa yaliyo fanywa mjini Sydney na baadhi ya wanajumuiya wa Ethiopia wanao ishi nchini Australia, kwa kile wanacho sema kuwa ni kampeni ya vurugu inayo endeshwa na serikali nchini mwao.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now