Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Queensland imekuwa kaburi la matumaini ya chama cha Labor katika uchaguzi mkuu?

Mchambuzi wa maswala ya siasa Bw Blaise Itabelo
Mchambuzi wa maswala ya siasa Bw Blaise Itabelo Source: AAP

Kwa muda mrefu mkoa wa Queensland umezua changamoto kwa chama cha Labor nchini Australia hususan wakati wa uchaguzi mkuu.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Kwa muda mrefu mkoa wa Queensland umezua changamoto kwa chama cha Labor nchini Australia hususan wakati wa uchaguzi mkuu.


Miongoni mwa viti 30 katika bunge la taifa kutoka Queensland, chama cha Labor kina miliki viti 6 tu, ilhali chama cha mseto cha Liberal Nationals kina miliki viti 22 na wabunge huru wanamiliki viti viwili vinavyo salia.

Mchambuzi wa mwaswala yaki siasa na mgombea wa hivi karibuni katika uchaguzi wa halmashauri ya jiji la Logan, Bw Blaise Itabelo, alichambua kitendawili hiki alipo zungumza na SBS Swahili.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now