Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je Tanzania ina ongozwa kwa kiki?

Ney wa mitego azungumza na vyombo vya habari punde baada yaku achiwa huru
Ney wa mitego azungumza na vyombo vya habari punde baada yaku achiwa huru Source: Picha: Ney wa Mitego

WaTanzania walio nje na nchini wame shangazwa na uamuzi unao toka katika serikali iliyo ingia madarakani kwa shangwe na matumaini mengi.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


WaTanzania walio nje na nchini wame shangazwa na uamuzi unao toka katika serikali iliyo ingia madarakani kwa shangwe na matumaini mengi.


Waziri mmoja maarufu alifutwa kazi na wadhifa wake kupewa mwingine chini ya masaa 24 baadae, wakati huo huo msanii maarufu alikamatwa nakuachiwa huru bila kufunguliwa mashtaka baada yaku toa wimbo ulio kosoa uongozi na hali ya maisha nchini Tanzania.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya watanzania wanao ishi Australia, kuhusu mvutano unao endelea nchini mwao.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now