Je Tanzania ina ongozwa kwa kiki?

Ney wa mitego azungumza na vyombo vya habari punde baada yaku achiwa huru

Ney wa mitego azungumza na vyombo vya habari punde baada yaku achiwa huru Source: Picha: Ney wa Mitego

WaTanzania walio nje na nchini wame shangazwa na uamuzi unao toka katika serikali iliyo ingia madarakani kwa shangwe na matumaini mengi.


Waziri mmoja maarufu alifutwa kazi na wadhifa wake kupewa mwingine chini ya masaa 24 baadae, wakati huo huo msanii maarufu alikamatwa nakuachiwa huru bila kufunguliwa mashtaka baada yaku toa wimbo ulio kosoa uongozi na hali ya maisha nchini Tanzania.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya watanzania wanao ishi Australia, kuhusu mvutano unao endelea nchini mwao.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service