Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je kura za urais wa DR Congo, zaelekea kuhesabiwa upya?

Wanachama wa UDPS washerehekea ushindi katika uchaguzi DR Congo

Wafuasi wa chama cha UDPS nchini DR Congo, washerehekea ushindi katika uchaguzi mkuu, ambao ulimpa mgombea wao fursa yakuwa rais wa taifa hilo. Source: Getty Images

Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.


SBS Swahili ilizungumza na wanachama wa jamii ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) mjini Sydney, Australia, ambao wali changia maoni yao nasi katika pandashuka za kisiasa nchini DRC.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now