Je kura za urais wa DR Congo, zaelekea kuhesabiwa upya?

Wanachama wa UDPS washerehekea ushindi katika uchaguzi DR Congo

Wafuasi wa chama cha UDPS nchini DR Congo, washerehekea ushindi katika uchaguzi mkuu, ambao ulimpa mgombea wao fursa yakuwa rais wa taifa hilo. Source: Getty Images

Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.


SBS Swahili ilizungumza na wanachama wa jamii ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) mjini Sydney, Australia, ambao wali changia maoni yao nasi katika pandashuka za kisiasa nchini DRC.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service