Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.
SBS Swahili ilizungumza na wanachama wa jamii ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) mjini Sydney, Australia, ambao wali changia maoni yao nasi katika pandashuka za kisiasa nchini DRC.
Share






