Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi"

Bw Isaac na Theophile katika sherehe ya miaka 63 ya uhuru wa DR Congo.JPG

Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.


Katika mazungumzo na SBS Swahili, baadhi ya viongozi wa jumuiya hiyo, walifunguka kuhusu hatua ambazo taifa lao limepiga tangu lipate uhuru kutoka wakoloni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi" | SBS Swahili