Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi"

Bw Isaac na Theophile katika sherehe ya miaka 63 ya uhuru wa DR Congo.JPG

Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.


Katika mazungumzo na SBS Swahili, baadhi ya viongozi wa jumuiya hiyo, walifunguka kuhusu hatua ambazo taifa lao limepiga tangu lipate uhuru kutoka wakoloni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now