Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji saba, wikendi hii waliona tabu sana, walipo jumuika katika uwanja wa michuano ya raga ya wachezaji saba kila upande.
Licha ya juhudu ya wachezaji wa timu ya Kenya almaarufu Shujaa katika mechi walizocheza, hatimae vijana hao wali ambulia vichapo nakumaliza michuano hiyo bila ushindi hata mmoja.
Mashabiki wengi ambao SBS Swahili ilizungumza nao wakati wa michuano hiyo, wali elezea huzuni walio pata, kupitia matokeo ya Shujaa katika michuano hiyo ila, wengi wao wana amini kwamba Shujaa wata rekebisha makosa waliyo fanya nakurejeshea Kenya heshima katika michuano ya raga inayo salia.
Share






