Shujaa yawa sikitisha mashabiki mjini Sydney, Australia

Mashabiki wa shujaa, katika michuano ya Sydney 7s 2019

Mashabiki wa shujaa, katika michuano ya Sydney 7s 2019 Source: SBS Swahili

Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji saba, wikendi hii waliona tabu sana, walipo jumuika katika uwanja wa michuano ya raga ya wachezaji saba kila upande.


Licha ya juhudu ya wachezaji wa timu ya Kenya almaarufu Shujaa katika mechi walizocheza, hatimae vijana hao wali ambulia vichapo nakumaliza michuano hiyo bila ushindi hata mmoja.

Mashabiki wengi ambao SBS Swahili ilizungumza nao wakati wa michuano hiyo, wali elezea huzuni walio pata, kupitia matokeo ya Shujaa katika michuano hiyo ila, wengi wao wana amini kwamba Shujaa wata rekebisha makosa waliyo fanya nakurejeshea Kenya heshima katika michuano ya raga inayo salia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service