Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Shujaa yawa sikitisha mashabiki mjini Sydney, Australia

Mashabiki wa shujaa, katika michuano ya Sydney 7s 2019

Mashabiki wa shujaa, katika michuano ya Sydney 7s 2019 Source: SBS Swahili

Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji saba, wikendi hii waliona tabu sana, walipo jumuika katika uwanja wa michuano ya raga ya wachezaji saba kila upande.


Published

Updated

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Mashabiki wa timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji saba, wikendi hii waliona tabu sana, walipo jumuika katika uwanja wa michuano ya raga ya wachezaji saba kila upande.


Licha ya juhudu ya wachezaji wa timu ya Kenya almaarufu Shujaa katika mechi walizocheza, hatimae vijana hao wali ambulia vichapo nakumaliza michuano hiyo bila ushindi hata mmoja.

Mashabiki wengi ambao SBS Swahili ilizungumza nao wakati wa michuano hiyo, wali elezea huzuni walio pata, kupitia matokeo ya Shujaa katika michuano hiyo ila, wengi wao wana amini kwamba Shujaa wata rekebisha makosa waliyo fanya nakurejeshea Kenya heshima katika michuano ya raga inayo salia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now