SKIP TO MAIN CONTENT

Ni 'kufa au kupona' Kombe la Dunia Wanawake nchini Ufaransa 2019

FIFA women's
Source: Getty Images

Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA mwaka 2019, linatarajiwa kuwa tajiri zaidi na kutazamwa zaidi, linakaribia kuanza nchini Ufaransa. Kuna nchi 24, ikiwa ni pamoja na Australia, zinashindana katika mashindano, ambayo mwaka huu yataendeshwa kwa wiki nne kuanzia Juni 7 ((hadi Julai 7)). Huyu hapa Frank Mtao akikwambia nini unahitaji kujua.


Published

By Evan Young

Presented by Frank Mtao

Source: SBS



Skip to podcast episode content

Kombe la Dunia la Wanawake la FIFA mwaka 2019, linatarajiwa kuwa tajiri zaidi na kutazamwa zaidi, linakaribia kuanza nchini Ufaransa. Kuna nchi 24, ikiwa ni pamoja na Australia, zinashindana katika mashindano, ambayo mwaka huu yataendeshwa kwa wiki nne kuanzia Juni 7 ((hadi Julai 7)). Huyu hapa Frank Mtao akikwambia nini unahitaji kujua.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now