Nchini Australia, inakadiriwa kuwa mtu mmoja kati yawatu kumi ambaye ni mzee hunyanyaswa katika hali fulani.
Jamii yapewa uelewa kuhusu unyanyasaji wa wazee

Mzee aketi peke yake nyumbani akifikiria Source: Getty Images
Jumatatu tarehe 15 Juni ni siku yakutoa uelewa wa unyanyasaji dhidi ya wazee duniani.
Share