Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jamii yapewa uelewa kuhusu unyanyasaji wa wazee

Mzee aketi peke yake nyumbani akifikiria

Mzee aketi peke yake nyumbani akifikiria Source: Getty Images

Jumatatu tarehe 15 Juni ni siku yakutoa uelewa wa unyanyasaji dhidi ya wazee duniani.


Published

By Allan Lee

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Jumatatu tarehe 15 Juni ni siku yakutoa uelewa wa unyanyasaji dhidi ya wazee duniani.


Nchini Australia, inakadiriwa kuwa mtu mmoja kati yawatu kumi ambaye ni mzee hunyanyaswa katika hali fulani.

Namba yasimu kwa watu wanao kabiliwa na unyanyasaji ni 1800 353 374, na hatakama ni namba yakitaifa, namba hiyo huwaelekeza wanao ipiga kwa namba ya usaidizi katika jimbo au wilaya wanako ishi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now