Jamii yawanyarwanda wanao ishi mjini Sydney, mapema wiki hii walisherehekea miaka 10 tangu jamii yao ilipozinduliwa.
SBS Swahili ilihudhuria hafla hiyo ambako viongozi wa jamii hiyo walichangia mafanikio yao pamoja na mbinu wanazo tumia kutatua changamoto zinazo ikabili jamii yao.
Share





