Jamii yawarundi wa Sydney, watoa heshima zao kwa marehemu Rais Nkurunziza

Jamii yawarundi wa NSW, watoa heshima zao za mwisho kwa rais Peter Nkurunziza

Jean-Paul Amedee Nizigama mwenyekiti wa jamii yawarundi wa NSW, aongoza jamii yake katika mkutano wakutoa heshima za mwisho kwa marehemu Rais Peter Nkurunziza Source: SBS Swahili

Warundi kote duniani wanaendelea kukabiliana na taarifa ya kifo cha ghafla, cha aliye kuwa rais wao Peter Nkurunziza.


Jean-Paul Amedee Nizigama ndiye mwenyekiti wa jamii yawarundi wanao ishi jimboni New South Wales, alifafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS, hisia ambazo tukio hilo lime zua miongoni mwa wanachama wa jamii yake.

Kwa taarifa na makala katika lugha ya Kirundi, tembelea tovuti hii: www.sbs.com.au/Kirundi


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Jamii yawarundi wa Sydney, watoa heshima zao kwa marehemu Rais Nkurunziza | SBS Swahili