Warundi kote duniani wanaendelea kukabiliana na taarifa ya kifo cha ghafla, cha aliye kuwa rais wao Peter Nkurunziza.
Jean-Paul Amedee Nizigama ndiye mwenyekiti wa jamii yawarundi wanao ishi jimboni New South Wales, alifafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS, hisia ambazo tukio hilo lime zua miongoni mwa wanachama wa jamii yake.
Kwa taarifa na makala katika lugha ya Kirundi, tembelea tovuti hii: www.sbs.com.au/Kirundi
Share





