Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jamii yawarundi wa Sydney, watoa heshima zao kwa marehemu Rais Nkurunziza

Jamii yawarundi wa NSW, watoa heshima zao za mwisho kwa rais Peter Nkurunziza

Jean-Paul Amedee Nizigama mwenyekiti wa jamii yawarundi wa NSW, aongoza jamii yake katika mkutano wakutoa heshima za mwisho kwa marehemu Rais Peter Nkurunziza Source: SBS Swahili

Warundi kote duniani wanaendelea kukabiliana na taarifa ya kifo cha ghafla, cha aliye kuwa rais wao Peter Nkurunziza.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Warundi kote duniani wanaendelea kukabiliana na taarifa ya kifo cha ghafla, cha aliye kuwa rais wao Peter Nkurunziza.


Jean-Paul Amedee Nizigama ndiye mwenyekiti wa jamii yawarundi wanao ishi jimboni New South Wales, alifafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS, hisia ambazo tukio hilo lime zua miongoni mwa wanachama wa jamii yake.

Kwa taarifa na makala katika lugha ya Kirundi, tembelea tovuti hii: www.sbs.com.au/Kirundi


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now