Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jane: "Kama mtu alisamehe aliye uwa familia yake, sisi tunasababu gani yakuwa na tafauti"?

Bango la maadhimisho ya mauji ya kimbari ya watutsi nchini Rwanda.

Bango la maadhimisho ya mauji ya kimbari ya watutsi nchini Rwanda. Source: kwibuka.rw

Chuo cha katoliki mjini Sydney kwa mara nyingine, kilikuwa mwenyeji wa ibada yakuwakumbuka walio uawa katika mauaji ya kimbari ya 1994.


Hata hivyo, si kila mtu katika jamii yawanyarwanda wanao ishi Sydney, alijumuika katika ibada hiyo sehemu moja ya jamii ikiwa ilifanya ibada sawia mwezi wa nne.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bi Jane ali elezea hisia zake kuhusu ibada hiyo, pamoja nakuzungumzia hatua ya baadhi ya wanachama wenza wa jamii yake kutoshiriki katika ibada hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now