Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Janga la idadi ya watu lakaribia wakati kupungua kwa viwango vyakuzaliwa kwa watoto kwa athiri bajeti ya taifa

Mwanamke mjazito ashika barakoa

Mwanamke mjazito ashika barakoa Source: AAP

Serikali ya shirikisho inaonywa kuhusu janga la idadi ya watu, wakati utafiti unaonesha kupungua kwa kasi ya kiwango cha idadi ya watoto wanao zaliwa nchini Australia.


Published

Updated

By Cassandra Bain

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho inaonywa kuhusu janga la idadi ya watu, wakati utafiti unaonesha kupungua kwa kasi ya kiwango cha idadi ya watoto wanao zaliwa nchini Australia.


Familia zinazo kabiliana na changamoto, zimesema misaada ya ziada, inastahili jumuishwa. Baadhi ya misaada wanayo taka nikupunguzwa kwa malipo ya huduma ya malezi yawatoto, na kuongezwa kwa likizo ya malipo ya wazazi katika bajeti ijayo.

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg alieleza chama chakitaifa cha waandishi wa habari mwezi julai, kuwa njia bora yakupiga jeki viwango vya uzazi nikuhakikisha watu wana imani kuhusu siku za usoni za uchumi wa Australia.

Bw Frydenberg anajiandaa kutoa bajeti ya taifa tarehe 6 Oktoba 2020.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now