Janga la idadi ya watu lakaribia wakati kupungua kwa viwango vyakuzaliwa kwa watoto kwa athiri bajeti ya taifa

Mwanamke mjazito ashika barakoa

Mwanamke mjazito ashika barakoa Source: AAP

Serikali ya shirikisho inaonywa kuhusu janga la idadi ya watu, wakati utafiti unaonesha kupungua kwa kasi ya kiwango cha idadi ya watoto wanao zaliwa nchini Australia.


Familia zinazo kabiliana na changamoto, zimesema misaada ya ziada, inastahili jumuishwa. Baadhi ya misaada wanayo taka nikupunguzwa kwa malipo ya huduma ya malezi yawatoto, na kuongezwa kwa likizo ya malipo ya wazazi katika bajeti ijayo.

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg alieleza chama chakitaifa cha waandishi wa habari mwezi julai, kuwa njia bora yakupiga jeki viwango vya uzazi nikuhakikisha watu wana imani kuhusu siku za usoni za uchumi wa Australia.

Bw Frydenberg anajiandaa kutoa bajeti ya taifa tarehe 6 Oktoba 2020.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Janga la idadi ya watu lakaribia wakati kupungua kwa viwango vyakuzaliwa kwa watoto kwa athiri bajeti ya taifa | SBS Swahili