Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jay "kuchujwa kwa Kenya kutoka Rugby 7s yakimataifa, ni pigo na ishara ya ukuaji wa mchezo huo"

Nyota wa Kenya akabwa na wachezaji wa Canada katika mechi ya mchujo mjini London..jpg

on day two of the HSBC Singapore Sevens at Singapore National Stadium on 9 April, 2023 in Kallang, Singapore. Photo credit: Mike Lee - KLC fotos for World Rugby Credit: Mike Lee/KLCfotos

Taarifa ya timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba ya Kenya, kushushwa daraja imepokewa kwa huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa mchezo huo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Taarifa ya timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba ya Kenya, kushushwa daraja imepokewa kwa huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa mchezo huo.


Kujua mengi zaidi kuhusu kanuni na madhara ya Kenya kushushwa daraja, SBS Swahili ilizungumza na mwamuzi wa mchezo wa raga Bw Jay ambaye aliweka wazi mapungufu na sehemu ambako Kenya ilikosea hadi kujipata nje ya michuano hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now