Taarifa ya timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba ya Kenya, kushushwa daraja imepokewa kwa huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa mchezo huo.
Kujua mengi zaidi kuhusu kanuni na madhara ya Kenya kushushwa daraja, SBS Swahili ilizungumza na mwamuzi wa mchezo wa raga Bw Jay ambaye aliweka wazi mapungufu na sehemu ambako Kenya ilikosea hadi kujipata nje ya michuano hiyo.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.






