Jay "Moi alikuwa nauthubutu wakukabiliana na vizuizi vya uongozi"

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi Source: Getty Images

Wakenya duniani kote wame ungana kuomboleza kifo cha rais wa pili wa nchi yao.


Je majirani wa Kenya katika jimbo la Mashariki ya Afrika, wanazungumziaje uongozi wa aliyekuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na baadhi ya raia wa Tanzania wanao ishi nchini Australia, ambao walichangia hisia zao kuhusu kifo cha rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service