Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jay "Moi alikuwa nauthubutu wakukabiliana na vizuizi vya uongozi"

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi Source: Getty Images

Wakenya duniani kote wame ungana kuomboleza kifo cha rais wa pili wa nchi yao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wakenya duniani kote wame ungana kuomboleza kifo cha rais wa pili wa nchi yao.


Je majirani wa Kenya katika jimbo la Mashariki ya Afrika, wanazungumziaje uongozi wa aliyekuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na baadhi ya raia wa Tanzania wanao ishi nchini Australia, ambao walichangia hisia zao kuhusu kifo cha rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now