Wakenya duniani kote wame ungana kuomboleza kifo cha rais wa pili wa nchi yao.
Je majirani wa Kenya katika jimbo la Mashariki ya Afrika, wanazungumziaje uongozi wa aliyekuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi.
Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na baadhi ya raia wa Tanzania wanao ishi nchini Australia, ambao walichangia hisia zao kuhusu kifo cha rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi.
Share





