Shirikika hilo lina makao yake makuu mjini Lismore, NSW, Australia na hutoa huduma ya afya kwa wanawake na watoto nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Shirika la MESH pia hutoa kompyuta zilizo karabatiwa kwa zahanati kwa matumizi ya tiba nakuhifadhi maelezo ya wagonjwa nakupunguza matumizi ya maelezo ya wagonjwa kuandikwa katika vitabu ambavyo vinaweza chanika na hata kupotea.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu mradi wa Bw Jean Claude, sikiza makala kimili.
Share
