Je! bajeti ya taifa itatuliza wasiwasi za ongezeko za gharama?

Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg kwenye mkutano na viongozi wa biashara na viwanda bungeni

Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg kwenye mkutano na viongozi wa biashara na viwanda bungeni. Source: AAP

Katika siku chache bajeti ya taifa ita tolewa, kabla ya uchaguzi mkuu na serikali ya shirikisho ina nia yakujitetea ili isalie madarakani.


Hata hivyo chama cha Labor kina sisitiza kuwa gharama zina endelea kuongezeka, na sera hazi fanyi kazi licha ya uchumi unao chochewa na faida za ajira pamoja na bei za juu za bidhaa zina saidia kuboresha msingi, kupanda kwa mfumuko wa bei na sintofahamu kimataifa zinazo zua changamoto.

Wakati gharama za maisha zinaendelea kuongezeka, kufanya bajeti kwa vitu mhimu kuna endelea kuwa vigumu. Wateja wanaendelea kuhisi maumivu mfukoni kuanzia katika soko la vyakula hadi kwenye vituo vya kuuza petroli.

Wakati kitabu cha serikali kitakapo kuwa wazi, itakuwa jukumu la chama cha Labor kujibu. Na utakuwa ni mjadala wakiuchumi utakao dumu hadi wakati wa uchaguzi mkuu wa Mei 2022.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service