Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! bajeti ya taifa itatuliza wasiwasi za ongezeko za gharama?

Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg kwenye mkutano na viongozi wa biashara na viwanda bungeni

Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg kwenye mkutano na viongozi wa biashara na viwanda bungeni. Source: AAP

Katika siku chache bajeti ya taifa ita tolewa, kabla ya uchaguzi mkuu na serikali ya shirikisho ina nia yakujitetea ili isalie madarakani.


Published

By Tom Stayner

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Katika siku chache bajeti ya taifa ita tolewa, kabla ya uchaguzi mkuu na serikali ya shirikisho ina nia yakujitetea ili isalie madarakani.


Hata hivyo chama cha Labor kina sisitiza kuwa gharama zina endelea kuongezeka, na sera hazi fanyi kazi licha ya uchumi unao chochewa na faida za ajira pamoja na bei za juu za bidhaa zina saidia kuboresha msingi, kupanda kwa mfumuko wa bei na sintofahamu kimataifa zinazo zua changamoto.

Wakati gharama za maisha zinaendelea kuongezeka, kufanya bajeti kwa vitu mhimu kuna endelea kuwa vigumu. Wateja wanaendelea kuhisi maumivu mfukoni kuanzia katika soko la vyakula hadi kwenye vituo vya kuuza petroli.

Wakati kitabu cha serikali kitakapo kuwa wazi, itakuwa jukumu la chama cha Labor kujibu. Na utakuwa ni mjadala wakiuchumi utakao dumu hadi wakati wa uchaguzi mkuu wa Mei 2022.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now