Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je Biden atambandua Trump mamlakani?

Donald Trump and Joe Biden making their final appearances on the campaign trail.

The American people will decide whose policies they value the most. Source: AAP

Donald Trump amekabiliana na matokeo hasi yakura ya maoni, katika kampeni yake yakusalia madarakani.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Donald Trump amekabiliana na matokeo hasi yakura ya maoni, katika kampeni yake yakusalia madarakani.


Kwa upande wa pili wa kampeni hizo za rais, Joe Biden ameongoza kwa muda mrefu katika kura za maoni kwa anaye tarajiwa kutangazwa mshindi.

Hata hivyo wanachama wa Democrats wana endelea kuwa na matumaini ya tahadhari baada ya miaka minne iliyopita kushuhudia mgombea wa Hillary Clinton kushindwa katika kura muhimu yakuunda serikali, licha yakushinda kura nyingi zaidi. Hali ambayo imewaachi wengi wakijiuliza kama radi yauchaguzi mkuu itagonga kwa mara ya pili nchini humo.

Ali Badawy ni mhariri katika redio ya The One Mic Show, ambayo hupeperusha makala yake mtandaoni kutoka Marekani. Bw Badawy alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi kampeni hizo zimekuwa nchini Marekani, pamoja na hisia kwa ujumla zawapiga kura kutoka pande zote zakisiasa nchini humo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now