Je Biden atambandua Trump mamlakani?

Donald Trump and Joe Biden making their final appearances on the campaign trail.

The American people will decide whose policies they value the most. Source: AAP

Donald Trump amekabiliana na matokeo hasi yakura ya maoni, katika kampeni yake yakusalia madarakani.


Kwa upande wa pili wa kampeni hizo za rais, Joe Biden ameongoza kwa muda mrefu katika kura za maoni kwa anaye tarajiwa kutangazwa mshindi.

Hata hivyo wanachama wa Democrats wana endelea kuwa na matumaini ya tahadhari baada ya miaka minne iliyopita kushuhudia mgombea wa Hillary Clinton kushindwa katika kura muhimu yakuunda serikali, licha yakushinda kura nyingi zaidi. Hali ambayo imewaachi wengi wakijiuliza kama radi yauchaguzi mkuu itagonga kwa mara ya pili nchini humo.

Ali Badawy ni mhariri katika redio ya The One Mic Show, ambayo hupeperusha makala yake mtandaoni kutoka Marekani. Bw Badawy alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi kampeni hizo zimekuwa nchini Marekani, pamoja na hisia kwa ujumla zawapiga kura kutoka pande zote zakisiasa nchini humo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service