Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je COVID-19 imewapa viongozi wakidini mafunzo gani?

Mchungaji Melphon Mayaka

Mchungaji Melphon Mayaka Source: Melphon Mayaka

Vizuizi vya COVID-19 vime sababisha madhara mengi kwa jamii zakidini kote nchini Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vizuizi vya COVID-19 vime sababisha madhara mengi kwa jamii zakidini kote nchini Australia.


Moja ya madhara vizuizi hivyo vilisababisha nikufungwa kwa sehemu za ibada, hatua ambayo iliwaacha waumini pamoja na viongozi wakidini, wakitafuta mbinu mbadala zakuendelea kuabudu pamoja.

Mmoja wa watu walio kabiliwa na changamoto hiyo ni Mchungaji Melphon Mayaka kutoka kanisa la Uwezo LIberty Church. Katika mazungumzo maalum na idhaa ya Kiswahili ya SBS, Mchungaji Mayaka aliweka wazi changamoto ambazo yeye pamoja na waumini wake wame kuwa wakikabili kwa sababu ya COVID-19.

Kama unataka fuatilia ibada na mahubiri ya Mchungaji Mayaka, tembelea ukurasa wa Facebook wakanisa la Uwezo Liberty Church.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now