Je! IEBC itakomboa sifa yake baada ya utata ilio zua katika uchaguzi mkuu wa 2017 wa Kenya?

Wafula Chebukati, Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi ya Kenya.jpg

Wafula Chebukati, Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi ya Kenya akitoa taarifa kwa umma.

Tume huru ya uchaguzi wa Kenya IEBC, kwa mara nyingine inasimamia uchaguzi mkuu miaka mitano baada ya uchaguzi mkuu wa 2017 ulio paka tume hilo tope lakuganda.


Licha yakuwa na miaka mitano yakuandaa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, chaguzi katika kanda kadhaa zili ahirishwa baada ya hati zakupigia kura kuwasili katika vituo vyakupigia kura zikiwa na taarifa za wagombea wasio wa maeneo bunge husika.

Katika juhudi yakupata uelewa wa taratibu za maandalizi ya chaguzi yoyote, SBS Swahili ilizungumza na Bw Chris Cheruiyot ambaye aliwahi hudumu kama afisa wa uchaguzi nchini Kenya.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service