Madini ya Coltan yamegunduliwa katika kaunti sita nchini Kenya, uchimbaji wa madini hayo unatarajiwa kuanza hivi karibuni.
Nako nchini Tanzania, upinzani uliongoza maandamano ukitaka kupanda kwa gharama ya maisha kushughulikiwe na, maoni ya wananchi pamoja na wadau wa demokrasia wasikizwe katika maswala ya sheria ya uchaguzi.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






