Je nchi za Afrika zina nufaikaje katika uhusiano wakibiashara na Australia?

Dr Casta Tungaraza azungumza na SBS Swahili

Dr Casta Tungaraza azungumza na SBS Swahilim, kuhusu maadhimisho ya siku kuu ya Australia Source: SBS Swahili

Australia imetia saini mikataba yakibiashara na nchi yingi barani Afrika.


Je mataifa ya bara la Afrika, yana nufaikaje kupitia mikataba hiyo, na muhimu zaidi manufaa hayo yanawafikia raia wa nchi husika barani Afrika?

Dr Casta Tungaraza ndiye mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya maswala ya biashara pamoja na uhusiano yawananchi kati ya Australia na Afrika. Bodi hiyo inafanya kazi chini ya uongozi wa wizara ya mambo ya nje na biashara ya Australia.

Dr Tungaraza alieleza Idhaa ya Kiswahili, utaratibu unao tumiwa kufikia mikataba hiyo na jinsi nchi husika zinavyo faidi kupitia makubaliano yanayo afikiwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service