Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je nchi za Afrika zina nufaikaje katika uhusiano wakibiashara na Australia?

Dr Casta Tungaraza azungumza na SBS Swahili

Dr Casta Tungaraza azungumza na SBS Swahilim, kuhusu maadhimisho ya siku kuu ya Australia Source: SBS Swahili

Australia imetia saini mikataba yakibiashara na nchi yingi barani Afrika.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Australia imetia saini mikataba yakibiashara na nchi yingi barani Afrika.


Je mataifa ya bara la Afrika, yana nufaikaje kupitia mikataba hiyo, na muhimu zaidi manufaa hayo yanawafikia raia wa nchi husika barani Afrika?

Dr Casta Tungaraza ndiye mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya maswala ya biashara pamoja na uhusiano yawananchi kati ya Australia na Afrika. Bodi hiyo inafanya kazi chini ya uongozi wa wizara ya mambo ya nje na biashara ya Australia.

Dr Tungaraza alieleza Idhaa ya Kiswahili, utaratibu unao tumiwa kufikia mikataba hiyo na jinsi nchi husika zinavyo faidi kupitia makubaliano yanayo afikiwa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now