Je! Ni sahihi kwa Tanzania kuwa na siku 5 zamaombolezi ya Malkia Elizabeth II?

Queen Elizabeth II.jpg

Queen Elizabeth II at St Paul's Cathedral for a service of Thanksgiving held in honour of her 80th birthday, June 15, 2006 in London, England.

Tangazo la serikali ya Tanzania kuwa na siku 5 zakuomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II, limepokewa kwa hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika Mashariki.


Mitandao yakijamii imelipukwa kwa ukosoaji wa tangazo hilo, wengi waki hoji umuhimu wakuwa na maombolezi yanayo dumu kwa siku tano kwa kiongozi wakigeni. Licha ya ukosoaji huo, tangazo hilo limepokewa kwa hali chanya na baadhi yawa Tanzania.

Padre ni mkaazi wa Australia mwenye asili ya Tanzania, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alimulika uhusiano kati ya Tanzania na Uingereza, pamoja nakufunguka kuhusu uamuzi wa siku tano za maombolezi zilizo tangazwa na Rais Samia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service