Je! nini kitafuata baada ya Raila kushindwa tena katika uchaguzi mkuu?

Opposition leader Raila Odinga greets his supporters after attending a church service in the slum of Kawangware in Nairobi, Kenya, Sunday, Oct. 29, 2017.

Opposition leader Raila Odinga greets his supporters after attending a church service in the slum of Kawangware in Nairobi, Kenya, Sunday, Oct. 29, 2017. Source: AAP

Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya Raila Odinga, amewania urais mara tano bila mafanikio.


Ben Mulwa ni mgombea wa zamani wa wadhifa wa urais wa Kenya.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Mulwa aliweka wazi baadhi ya maswala ambayo, yanaweza kuwa yalichangia kwa Bw Odinga kuto timiza ndoto yake yakutangazwa mshindi baada yakuwania wadhifa huo kwa mara ya tano.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Je! nini kitafuata baada ya Raila kushindwa tena katika uchaguzi mkuu? | SBS Swahili