Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! nini kitafuata baada ya Raila kushindwa tena katika uchaguzi mkuu?

Opposition leader Raila Odinga greets his supporters after attending a church service in the slum of Kawangware in Nairobi, Kenya, Sunday, Oct. 29, 2017.

Opposition leader Raila Odinga greets his supporters after attending a church service in the slum of Kawangware in Nairobi, Kenya, Sunday, Oct. 29, 2017. Source: AAP

Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya Raila Odinga, amewania urais mara tano bila mafanikio.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya Raila Odinga, amewania urais mara tano bila mafanikio.


Ben Mulwa ni mgombea wa zamani wa wadhifa wa urais wa Kenya.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Mulwa aliweka wazi baadhi ya maswala ambayo, yanaweza kuwa yalichangia kwa Bw Odinga kuto timiza ndoto yake yakutangazwa mshindi baada yakuwania wadhifa huo kwa mara ya tano.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now