Je! nini sababu ya kifo cha gwiji wa Cricket?

Mashabiki waweka maua chini ya sanamu ya marehemu Shane Warne

Mashabiki waweka maua chini ya sanamu ya marehemu Shane Warne Source: AAP

Watu kote duniani wanaendelea kukabaliana na taarifa za kifo cha ghafla, cha gwiji wa mchezo wa cricket Shane Warne.


Inashukiwa kifo cha Bw Warne kilisababishwa na mshtuko wa moyo, alipokuwa katika liko na rafiki zake nchini Thailand.

Mwanaume huyo mwenye miaka 52 alitoa hamasa kwa mamilioni ya watu uwanjani na, mara nyingi alihusika katika vyombo vya habari kwa matendo yake nje ya uwanja. Serikali ya Victoria ime hakikisha kuwa urithi wa Warne, utaishi milele katika uwanja wa Melbourne Cricket Ground.

Warne amewaacha watoto watatu Brooke, Summer na Jackson, pamoja na mke wake wa zamani Simone Callahan.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Je! nini sababu ya kifo cha gwiji wa Cricket? | SBS Swahili