Je! Scott Morrison atafaulu kutetea wadhifa wake?

Scott Morrison kwenye kampeni za uchaguzi mkuu

Scott Morrison kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Source: AAP Image/Mick Tsikas

Baada yakusubiri kwa muda mrefu hatimae Waziri Mkuu Scott Morrison alitangaza tarehe ya uchaguzi mkuu kwa 21 Mei 2022.


Hata hivyo Bw Morrison anaendelea kukabiliwa kwa kashfa moja baada ya nyingine, hali ambayo wachambuzi wengi wamaswala ya siasa wanahisi inaweza mnyima ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wapiga kura siku chache baada ya tangazo la tarehe ya uchaguzi mkuu, kujua ni maswala gani yatakayo shawishi kura zao kwa wagombea na vyama husika katika uchaguzi mkuu ujao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service