Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! Scott Morrison atafaulu kutetea wadhifa wake?

Scott Morrison kwenye kampeni za uchaguzi mkuu

Scott Morrison kwenye kampeni za uchaguzi mkuu. Source: AAP Image/Mick Tsikas

Baada yakusubiri kwa muda mrefu hatimae Waziri Mkuu Scott Morrison alitangaza tarehe ya uchaguzi mkuu kwa 21 Mei 2022.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Baada yakusubiri kwa muda mrefu hatimae Waziri Mkuu Scott Morrison alitangaza tarehe ya uchaguzi mkuu kwa 21 Mei 2022.


Hata hivyo Bw Morrison anaendelea kukabiliwa kwa kashfa moja baada ya nyingine, hali ambayo wachambuzi wengi wamaswala ya siasa wanahisi inaweza mnyima ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wapiga kura siku chache baada ya tangazo la tarehe ya uchaguzi mkuu, kujua ni maswala gani yatakayo shawishi kura zao kwa wagombea na vyama husika katika uchaguzi mkuu ujao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now