Je! Ujio wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki utafaidi vipi raia wake?

Msanii Future (kushoto), Dr Kaitila (katikati) Rais wa Jumuiya yawa Tanzania wa Queensland, na Mike (kulia) Rais wa Jumuiya yawatu kutoka DR Congo wa Queensland.

Msanii Future (kushoto), Dr Kaitila (katikati) Rais wa Jumuiya yawa Tanzania wa Queensland, na Mike (kulia) Rais wa Jumuiya yawatu kutoka DR Congo wa Queensland Source: SBS Swahili

Ni miezi kadhaa sasa tangu Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo ikaribishwe kuwa mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.


Uanachama wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, umepokewa kwa hisia mseto na baadhi ya raia kutoka nchi wanachama wa jumuiya hiyo.

Katika mazungumzo maalum, SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya viongozi wa jamii jimboni Queensland, kuhusu ujio wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service