Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! Umeridhika na bajeti ya Chalmers?

Treasurer Jim Chalmers.jpg

Treasurer Jim Chalmers speaks during a budget lockup press conference to announce details of the 2022-23 federal budget to the media at Parliament House on October 25, 2022 in Canberra, Australia.

Bajeti ya kwanza ya serikali ya Albanese imepokewa viziru na vikundi vingi.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Bajeti ya kwanza ya serikali ya Albanese imepokewa viziru na vikundi vingi.


Ila kuna wasiwasi bajeti hiyo haija enda mbali sana, kulingana na wanachama mhimu wa jamii ya Australia nakimataifa.

Matarajio yalikuwa juu sana kwa kile ambacho bajeti ya mweka hazina Jim Chalmers ingesema kuhusu maswala ambayo serikali ya Labor ilichukua meizi kadhaa kuzungumzia kuhusu.

Maswala hayo nikama: Elimu, huduma ya wazee, uhaba wa ujuzi pamoja na mfumuko wa bei.

Na majibu ya papo hapo kwa kile ambacho bajeti hiyo ilisema kuhusu maswala hayo, yame kuwa kwa sehemu kubwa chanya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now